Smiley face

Jumanne, 24 Julai 2018

Wimbo za wokovu | “Kwa Kuwa Mungu Anamwokoa Mwanadamu, Atamwokoa Kabisa” | Wema wa Mungu



I
Kwa kuwa Mungu alimuumba mwanadamu, Atamwongoza;
kwa kuwa Anamwokoa mwanadamu, Atamwokoa na kumpata kabisa;
kwa kuwa anamwongoza mwanadamu, Atamfikisha katika hatima sahihi.
Kwa kuwa Alimuumba mwanadamu na Anamsimamia,
ni lazima awajibikie matarajio na jalaa ya mwanadamu.
Ni hii ndiyo kazi inayofanywa na Muumba.
Ingawa kazi ya ushindi inafanikishwa ikiondoa matarajio ya jamii ya wanadamu,
mwishowe, mwanadamu bado ataletwa katika hatima sahihi ambayo Mungu amemwandalia.

II
Kwa sababu ni Mungu anayemfanyia mwanadamu kazi, mwanadamu ana hatima
na hatima yake hivyo inahakikishwa, hatima yake inahakikishwa.
Yale ambayo mwanadamu hufuatilia na kutamani ni matarajio aliyo nayo
anapofuata tamaa badhirifu za kimwili,
badala ya hatima, hatima inayotazamiwa na mwanadamu.
Yale ambayo Mungu amemwandalia mwanadamu, kwa upande mwingine,
ni baraka na ahadi zinazomngoja mwanadamu atakapotakaswa,
ambayo Mungu alimwandalia baada ya kuiumba dunia.
Hizo baraka na ahadi hazichafuliwi na fikira
ya mwanadamu na mawazo, au chaguo lake au mwili.
Hii hatima haijaandaliwa kwa mtu mahsusi,
mtu mahsusi, lakini ni mahali pa mapumziko kwa kila mwanadamu.
Hii ndiyo hatima inayofaa, hatima inayofaa kwa mwanadamu.

III
Ni lazima awajibikie matarajio na jalaa ya mwanadamu.
Ni hii ndiyo kazi inayofanywa na Muumba.
Ingawa kazi ya ushindi inafanikishwa ikiondoa matarajio ya jamii ya wanadamu,
mwishowe, mwanadamu bado ataletwa katika hatima sahihi ambayo Mungu amemwandalia.
Ni lazima awajibikie matarajio na jalaa ya mwanadamu.
Ni hii ndiyo kazi inayofanywa na Muumba.
Ingawa kazi ya ushindi inafanikishwa ikiondoa matarajio ya jamii ya wanadamu,
mwishowe, mwanadamu bado ataletwa katika
hatima sahihi ambayo Mungu amemwandalia.

kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili

Mwenyezi Mungu, Kristo wa siku za mwisho, ni Bwana Yesu aliyerudi. Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu linajitokeza kwa sababu ya kuonekana kwa kazi ya Mungu na iliyojumuishwa na wale wote waliomkubali kazi ya Mwenyezi Mungu ya dhati ya siku za mwisho na walishindwa na kuokolewa na neno la Mungu. Kondoo za Mungu husikia sauti ya Mungu. Kwa sababu ya kuonekana kwa maneno ya Kristo wa siku za mwisho, watu zaidi na zaidi ambao wana kiu ya kutafuta ukweli wameshindwa na neno la Mungu na kurudi kwa Mwenyezi Mungu. Wamepata maji ya kunywa na kulishwa na neno la Mungu na kufurahia kazi na mwongozo wa Roho Mtakatifu, wakithibitisha kwa hakika kwamba Mwenyezi Mungu ndiye kurudi kwa Mkombozi ambaye tumemtarajia kwa miaka mingi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni