Smiley face
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Nyimbo. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Nyimbo. Onyesha machapisho yote

Jumamosi, 8 Juni 2019

Wimbo Mpya wa Dini 2019 | “Zingatia Majaliwa ya Binadamu” | Wokovu wa Mungu (Lyrics Video)



Wimbo Mpya wa Dini 2019 | “Zingatia Majaliwa ya Binadamu” | Wokovu wa Mungu (Lyrics Video)
Mungu awahimiza makabila yote, mataifa na nyanja zote: Sikizeni sauti Yake, muione kazi Yake; mzingatie hatima ya wanadamu; mfanye Mungu Mtakatifu na Mheshimiwa, Mkuu na wa pekee wakuabudiwa, ulimwengu wote, na wanadamu, waishi chini ya baraka Yake Mungu, kama vizazi vya Ibrahimu, walivyoishi na ahadi ya Yehova, kama viumbe vya Mungu, Adamu na Hawa, walivyoishi bustani Edeni. Kazi ya Mungu ni kama mawimbi yavumayo hakuna wa kumzuia au kumsimamisha.

Jumatano, 5 Juni 2019

2019 Swahili Gospel Worship Song | "Toa Akili na Mwili ili Kutimiza Agizo la Mungu" (Lyrics Video)



2019 Swahili Gospel Worship song | "Toa Akili na Mwili ili Kutimiza Agizo la Mungu" (Lyrics Video)

I Kama washiriki wa jamii ya wanadamu, kama wafuasi wa Kristo wa dhati, ni wajibu wetu, ni jukumu letu kutoa akili zetu na miili yetu kwa kutimiza agizo la Mungu. Kwa maana asili yetu yote ilitoka kwa Mungu, na twaishi, kwa ajili ya ukuu Wake.

Jumanne, 4 Juni 2019

Wimbo wa Injili | "Toa Akili na Mwili ili Kutimiza Agizo la Mungu" | The Great Mission of Christians



Wimbo wa Injili | "Toa Akili na Mwili ili Kutimiza Agizo la Mungu" | The Great Mission of Christians
I
Kama washiriki wa jamii ya wanadamu, kama wafuasi wa Kristo wa dhati, ni wajibu wetu, ni jukumu letu kutoa akili zetu na miili yetu kwa kutimiza agizo la Mungu. Kwa maana asili yetu yote ilitoka kwa Mungu, na twaishi, kwa ajili ya ukuu Wake. Kwa maana asili yetu, ilitoka kwa Mungu, na twaishi, kwa ajili ya ukuu Wake.

Jumatano, 8 Mei 2019

Wimbo wa Dini | Sauti ya Moyo ya Kiumbe Aliyeumbwa



Wimbo wa Dini | Sauti ya Moyo ya Kiumbe Aliyeumbwa

I
Nilitaka kulia lakini hakuna mahali palihisi sawa.
Nilitaka kuimba lakini hakuna wimbo ulipatikana.
Nilitaka kuonyesha upendo wa kiumbe aliyeumbwa.
Nikitafuta juu na chini,
lakini hakuna maneno yangeweza kusema,
yangeweza kusema jinsi hasa ninavyohisi.
Mungu wa vitendo na wa kweli,
upendo ndani ya moyo wangu.

Jumatatu, 6 Mei 2019

Wimbo wa Dini | Upendo wa Kweli wa Mungu

Smiley face


Wimbo wa Dini | Upendo wa Kweli wa Mungu

I
Nasimama mbele ya Mungu wangu tena leo.
Moyo wangu una mengi ya kusema
ninapoona uso Wake wa kupendeza.
Nimeacha siku zangu za zamani za kuzurura nyuma yangu.
Neno Lake linanijaza na raha
na furaha kutoka kwa neema Yake.
Ni maneno nyororo ya Mungu ndiyo
huninyunyizia
na kunistawisha ili nikuwe.
Ni maneno Yake makali ndiyo hunitia moyo nisimame tena.

Wimbo wa Dini |Mpendwa Wangu, Tafadhali Nisubiri

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Nyimbo za Kanisa,Umeme wa Mashariki


Wimbo wa Dini |Mpendwa Wangu, Tafadhali Nisubiri

I
Juu ya miti, ukipanda mwezi mtulivu.
Kama mpenzi wangu, mwenye haki na mzuri.
Ee mpenzi wangu, uko wapi Wewe?
Sasa ninalia. Je unanisikia nikilia?
Wewe ndiye Unayenipa upendo.
Wewe ndiye Unayenijali.
Wewe ndiye Unayefikiri kunihusu kila wakati.
Wewe ndiye Unayehifadhi maisha yangu.
Mwezi, rudi upande ule mwingine wa anga.

Jumapili, 5 Mei 2019

Wimbo wa Dini | Kwa Ajili ya Nani Mtu Aishi

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Nyimbo za Kanisa,Umeme wa Mashariki


           
Wimbo wa Dini | Kwa Ajili ya Nani Mtu Aishi 

I
Haikuwa wazi ni kwa ajili ya nani mtu anapaswa kuishi.
Sasa nina jibu kwa hilo.
Nilikuwa naishi tu kwa ajili yangu mwenyewe,
kutafuta hadhi tu na umaarufu.
Maombi kwa Mungu yaliyojaa maneno mema,
lakini nikishikilia njia zangu mwenyewe katika maisha halisi.
Imani juu ya msingi wa kesho na majaliwa,
sina ukweli au uhalisi.
Mila na sheria, zikifungia imani yangu;
sikubaki na kitu ila utupu.

Jumamosi, 4 Mei 2019

Wimbo wa Kuabudu |Jinsi Upendo wa Mungu kwa Mwanadamu Ulivyo Muhimu

Smiley face

Wimbo wa Kuabudu |Jinsi Upendo wa Mungu kwa Mwanadamu Ulivyo Muhimu


Mandhari iliyochorwa katika Biblia "Amri ya Mungu kwa Adamu"
ni ya kugusa na yenye kutia moyo.
Ingawa hiyo picha ina Mungu na mtu tu,
uhusiano kati ya hao wawili ni wa ndani sana
tunaanza kuhisi mshangao, mshangao na uvutiwaji.

I
Upendo wa Mungu unaofurika umepewa mwanadamu bure,
upendo wa Mungu umemzunguka.

Ijumaa, 3 Mei 2019

Wimbo wa Kuabudu|Jinsi ya Kujua Kuonekana na Kazi ya Kristo wa Siku za Mwisho


  
Wimbo wa Kuabudu|Jinsi ya Kujua Kuonekana na Kazi ya Kristo wa Siku za Mwisho


    I
Mwili wa Mungu utajumlisha
kiini cha Mungu na maonyesho Yake.
Atakapofanywa mwili,
Ataleta matunda ya kazi Aliyopewa
ajidhihirishe na Alete Ukweli kwa wote,
awape uhai na awaonyeshe njia.

Alhamisi, 2 Mei 2019

Wimbo wa Kuabudu | Kusudi la Kazi ya Usimamizi ya Mungu ni Kumwokoa Binadamu

Smiley face

Wimbo wa Kuabudu | Kusudi la Kazi ya Usimamizi ya Mungu ni Kumwokoa Binadamu



I
Ikiwa mwanadamu ahisi mapenzi Yake ya huruma au la,
Yeye hachoki kufuatilia kazi Anayohitaji kufanya.
Ikiwa mwanadamu aelewa usimamizi Wake au la,
kazi Yake huleta usaidizi na utoaji unaoweza kuhisiwa na wote.

Jumatano, 1 Mei 2019

Wimbo wa Kuabudu | Mungu Hutumaini Mtu Anaweza Kumjua na Kumwelewa




Wimbo wa Kuabudu | Mungu Hutumaini Mtu Anaweza Kumjua na Kumwelewa

 I
Tangu uhusiano wa kwanza wa Mungu na mwanadamu,
Amekuwa akifichua kwao
Kiini Chake na vile Alivyo na Alicho nacho,
bila kukoma, kila wakati.
Kama watu katika enzi wanaweza kuona au kuelewa,
Mungu huzungumza na kufanya kazi
ili kuonyesha tabia Yake na kiini.

Jumanne, 30 Aprili 2019

Wimbo wa Kuabudu | Kwa Kuwa Mungu Anamwokoa Mwanadamu, Atamwokoa Kabisa

Neno la Mungu,Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki



Wimbo wa Kuabudu | Kwa Kuwa Mungu Anamwokoa Mwanadamu, Atamwokoa Kabisa

     I
Kwa kuwa Mungu alimuumba mwanadamu, Atamwongoza;
kwa kuwa Anamwokoa mwanadamu,
Atamwokoa na kumpata kabisa;
kwa kuwa anamwongoza mwanadamu,
Atamfikisha katika hatima sahihi.
Kwa kuwa Alimuumba mwanadamu na Anamsimamia,
ni lazima awajibikie matarajio na jalaa ya mwanadamu.
Ni hii ndiyo kazi inayofanywa na Muumba.

Wimbo wa Kuabudu|Umuhimu wa Mungu Kumsimamia Binadamu

Smiley face

Wimbo wa Kuabudu|Umuhimu wa Mungu Kumsimamia Binadamu

I
Usimamizi wa Mungu ni ili kuwapata binadamu
wanaomwabudu na kumtii Yeye.
Ingawa wamepotoshwa na Shetani,
hawamwiti baba tena.
Wanajua ubaya wa Shetani, hivyo wanamkataa.
Wanakuja mbele ya Mungu, wanakubali adabu na hukumu.
Wanajua kile kilicho kibaya,
na kile ambacho ni kitakatifu.
Na wanajua ukuu wa Mungu, na uovu wa Shetani.
Jamii kama hii ya binadamu haitamfanyia Shetani kazi
wala kumwabudu tena.

Jumapili, 28 Aprili 2019

Wimbo wa Kuabudu |Maneno Ya Mungu Ni Ukweli Usiobadilika Milele



Wimbo wa Kuabudu |Maneno Ya Mungu Ni Ukweli Usiobadilika Milele        

     I
Maneno ya Mungu ni ukweli, usiobadilika milele.
Mungu ndiye mpaji wa uzima,
na kiongozi pekee wa mwanadamu.
Thamani na maana ya maneno Yake
yanaamuliwa na kiini chao,
sio kama mwanadamu anayakubali au kuyatambua.
Hata kama hakuna mwanadamu ulimwenguni
anayapokea maneno Yake,
thamani yao na usaidizi kwa mwanadamu hayapimiki.

Jumamosi, 27 Aprili 2019

Wimbo wa Kuabudu |Unapoufungua Moyo Wako kwa Mungu




Wimbo wa Kuabudu |Unapoufungua Moyo Wako kwa Mungu

I
Wakati hamumwelewi Mungu na hamjui asili Yake,
mioyo yenu haiwezi kamwe kufunguka, kufungukia Mungu.
Mara utakapomwelewa Mungu wako,
utaelewa kilicho moyoni Mwake,
na kufurahia kilicho ndani Yake
kwa imani na usikivu wako wote.

Ijumaa, 26 Aprili 2019

Wimbo wa Kuabudu |Mungu Anapata Mwili ili tu Kumshinda Shetani na Kuwaokoa Binadamu



Wimbo wa Kuabudu |Mungu Anapata Mwili ili tu Kumshinda Shetani na Kuwaokoa Binadamu
      
 I
    Wakati wa kupata mwili kwa Mungu duniani,
Anafanya kazi Yake miongoni mwa wanadamu.
Kazi hii yote ina kusudi moja—kumshinda ibilisi Shetani.
Atamshinda Shetani kumshinda mwanadamu,
pia kupitia kukufanya mkamilifu.
Unapokuwa na ushuhuda mkubwa sana,
hii pia itakuwa ishara ya kushindwa kwa Shetani.

Alhamisi, 25 Aprili 2019

Wimbo wa Kuabudu |Jinsi ya Kutafuta Nyayo za Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Neno la Mungu,Umeme wa Mashariki


Wimbo wa Kuabudu |Jinsi ya Kutafuta Nyayo za Mungu

 I
Kwa kuwa tunatafuta nyayo za Mungu,
lazima tutafute mapenzi ya Mungu,
tutafute maneno ya Mungu na matamshi ya Mungu,
tutafute maneno ya Mungu na matamshi Yake.
Kwani palipo na maneno mapya ya Mungu,
pana sauti ya Mungu, sauti Yake;
palipo na nyayo za Mungu,
pana matendo ya Mungu, matendo ya Mungu.

Jumatano, 24 Aprili 2019

Wimbo wa Kuabudu | Kazi ya Mungu Inaendelea Kuboreshwa



 Wimbo wa Kuabudu | Kazi ya Mungu Inaendelea Kuboreshwa
         
 I
Kazi ya Mungu inaendelea kuwa bora;
ingawa kusudi linabaki bila kubadilika,
mbinu ya kazi Yake inabadilika daima,
na hivyo pia wale wanaomfuata.
Kadiri ambavyo Mungu anafanya kazi zaidi,
ndivyo anavyozidi mwanadamu kumjua, kikamilifu,
ndivyo tabia ya mwanadamu inavyozidi kubadilika
pamoja na kazi Yake ifaavyo.
Kazi ya Mungu inaendelea kuboreshwa;
Kazi Yake kamwe sio nzee na ni mpya daima.

Jumanne, 23 Aprili 2019

Wimbo wa Kuabudu | Ni kwa Kufanya Kazi Katika Mwili Pekee Ndiyo Mungu Anaweza Kumpata Binadamu


Wimbo wa Kuabudu | Ni kwa Kufanya Kazi Katika Mwili Pekee Ndiyo Mungu Anaweza Kumpata Binadamu


I
Kupitia neno la Mungu la utendaji,
unyonge wa mwanadamu na uasi
yanahukumiwa na kufichuliwa.
Kisha wanadamu wanapokea wanachohitaji
Wanaona kuwa Mungu amekuja
katika ulimwengu huu wa binadamu.
Kazi ya Mungu wa utendaji ina nia ya kumwokoa kila mmoja
kutoka kwa ushawishi wa Shetani,
kuwaokoa kutoka kwa uchafu na kwa tabia yao
iliyopotoshwa na Shetani.

Jumatatu, 22 Aprili 2019

Wimbo wa Kuabudu | Tabia ya Haki ya Mungu ni ya Pekee



 Wimbo wa Kuabudu | Tabia ya Haki ya Mungu ni ya Pekee

I
Mungu huonyesha tabia Yake ya haki
kupitia mbinu na kanuni za kipekee,
haidhibitiwi na watu, matukio au vitu.
Na hakuna awezaye kubadili dhana au mawazo Yake,
au kumshawishi Ajaribu njia tofauti.
Hii ndiyo asili ya kipekee ya tabia ya haki ya Muumba!
Tabia Yake ya haki!