Smiley face

Jumamosi, 25 Agosti 2018

Wimbo wa Maneno ya Mungu | "Jinsi Mungu Anavyotawala Vitu Vyote"



I
Kutoka unapoingia katika dunia hii ukilia,
unaanza kutenda wajibu wako.
Katika mpango na utaratibu wa Mungu, unachukua nafasi yako,
na unaanza safari ya maisha.
Vyovyote vilivyo msingi wako ama safari iliyo mbele yako,
hakuna anayeweza kuepuka utaratibu na mpango ambao Mbingu imeweka,
na hakuna aliye na amri juu ya hatima yake,
kwani ni Yule tu anayetawala juu ya vitu vyote ndiye ana uwezo wa kazi kama hii.
II
Tangu siku ambayo mwanadamu alikuja kuwepo
Mungu amekuwa imara katika kazi Yake,
Akisimamia ulimwengu huu na kuelekeza mabadiliko na kusonga kwa vitu vyote.
Kama vitu vyote, mwanadamu kwa kimya na bila kujua anapokea
uboreshaji wa utamu, mvua na umande kutoka kwa Mungu.
Kama vitu vyote, mwanadamu bila kujua anaishi chini ya utaratibu wa mkono wa Mungu.
III
Moyo na roho ya mwanadamu viko mkononi mwa Mungu,
na maisha yote ya mwanadamu yanatazamwa machoni mwa Mungu.
Bila kujali kama unaamini katika hili ua la,
chochote na vitu vyote, viishivyo au vilivyokufa,
vitageuka, vibadilike, vifanywe upya, na kupotea kulingana na fikira za Mungu.
Hivi ndivyo Mungu hutawala juu ya vitu vyote.

kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili

Mwenyezi Mungu, Kristo wa siku za mwisho, ni Bwana Yesu aliyerudi. Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu linajitokeza kwa sababu ya kuonekana kwa kazi ya Mungu na iliyojumuishwa na wale wote waliomkubali kazi ya Mwenyezi Mungu ya dhati ya siku za mwisho na walishindwa na kuokolewa na neno la Mungu. Kondoo za Mungu husikia sauti ya Mungu. Kwa sababu ya kuonekana kwa maneno ya Kristo wa siku za mwisho, watu zaidi na zaidi ambao wana kiu ya kutafuta ukweli wameshindwa na neno la Mungu na kurudi kwa Mwenyezi Mungu. Wamepata maji ya kunywa na kulishwa na neno la Mungu na kufurahia kazi na mwongozo wa Roho Mtakatifu, wakithibitisha kwa hakika kwamba Mwenyezi Mungu ndiye kurudi kwa Mkombozi ambaye tumemtarajia kwa miaka mingi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni