Smiley face

Jumatano, 1 Agosti 2018

Wimbo wa Injili 2018 | "Matendo Ya Mungu Yanajaza Ulimwengu Mzima Tupu" Sifa kwa matendo ya Mungu ya ajabu



I
Mungu anatazama chini juu ya vitu vyote kutoka juu,
na Anatawala vitu vyote kutoka juu.
Wakati huo huo, Mungu ametuma wokovu Wake juu ya dunia.
Mungu anaangalia kutoka mahali Pake pa siri kila wakati,
kila hatua ya mwanadamu, kila kitu anachosema na kufanya.
Mungu anamjua mwanadamu kama kiganja cha mkono Wake.
Mahali pa siri ni makao ya Mungu, anga ndicho kitanda Mungu akilaliacho.
Nguvu ya Shetani haiwezi kumfikia Mungu,
kwani Yeye amejawa na utukufu, haki, na hukumu.
II
Mungu amekanyaga vitu vyote na miguu Yake,
Yeye ananyosha mtazamo Wake juu ya ulimwengu.
Na Mungu ametembea kati ya wanadamu,
ameonja utamu na uchungu, ladha zote za dunia ya mwanadamu;
lakini wanadamu, kamwe hawakumtambua Mungu kweli,
wala hawakumwona Mungu alipokuwa akitembea ughaibuni.
Kwa sababu Mungu alikuwa kimya, na hakufanya matendo yasiyo ya kawaida,
hivyo, hakuna aliyemwona kweli.
Vitu haviko vilivyokuwa awali:
Mungu anaenda kufanya vitu ambavyo, katika enzi zote, ulimwengu haujawahi kuona,
Mungu anaenda kunena maneno ambayo, katika enzi zote, wanadamu hawajawahi kusikia,
kwa sababu Yeye anawataka binadamu wote waje kumjua Mungu katika mwili.

kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili

Mwenyezi Mungu, Kristo wa siku za mwisho, ni Bwana Yesu aliyerudi. Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu linajitokeza kwa sababu ya kuonekana kwa kazi ya Mungu na iliyojumuishwa na wale wote waliomkubali kazi ya Mwenyezi Mungu ya dhati ya siku za mwisho na walishindwa na kuokolewa na neno la Mungu. Kondoo za Mungu husikia sauti ya Mungu. Kwa sababu ya kuonekana kwa maneno ya Kristo wa siku za mwisho, watu zaidi na zaidi ambao wana kiu ya kutafuta ukweli wameshindwa na neno la Mungu na kurudi kwa Mwenyezi Mungu. Wamepata maji ya kunywa na kulishwa na neno la Mungu na kufurahia kazi na mwongozo wa Roho Mtakatifu, wakithibitisha kwa hakika kwamba Mwenyezi Mungu ndiye kurudi kwa Mkombozi ambaye tumemtarajia kwa miaka mingi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni