Smiley face

Jumatano, 3 Oktoba 2018

Umeme wa Mashariki | "Kaa Mbali na Shughuli Zangu" (5) - Kuufichua Ukweli wa Upinzani wa Mafarisayo kwa Mungu



Kaa Mbali na Shughuli Zangu" (5) - Kuufichua Ukweli wa Upinzani wa Mafarisayo kwa Mungu


Wakati Bwana Yesu alipoonekana na kufanya kazi, wakuhani wa Kiyahudi, waandishi, na Mafarisayo walikashifu, wakashutumu, na kumkufuru vikali Bwana Yesu. Walimsulubisha Bwana Yesu msalabani, na wakawazuia watu kumkubali Bwana Yesu.
Wakati wa siku za mwisho, Mungu amekuwa mwili tena. Amejionyesha na anaifanya kazi. Wachungaji na wazee wa kanisa wa jamii ya dini wanaipinga na kuishutumu vikali tena kazi ya Mungu ya siku za mwisho, wakiwazuia waumini kwa vyovyote vile dhidi ya kumkubali Mwenyezi Mungu. Kwa nini kuwa mwili mara mbili kwa Mungu, wakati Alipojionyesha na kuifanya kazi, kukakumbana na upinzani na shutuma kutoka kwa viongozi wa kidini? Ni nini chanzo na asili ya kweli ya upinzani wa viongozi wa kidini?

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni