Wimbo wa Kuabudu |Maneno Ya Mungu Ni Ukweli Usiobadilika Milele
I
Maneno ya Mungu ni ukweli, usiobadilika milele.
Mungu ndiye mpaji wa uzima,
na kiongozi pekee wa mwanadamu.
Thamani na maana ya maneno Yake
yanaamuliwa na kiini chao,
sio kama mwanadamu anayakubali au kuyatambua.
Hata kama hakuna mwanadamu ulimwenguni
anayapokea maneno Yake,
thamani yao na usaidizi kwa mwanadamu hayapimiki.